Mchungaji huyo maarufu kwa jina la Mzee wa Upako ametoa kauli hiyo mbele ya waumini wake jana katika kanisa hilo lililopo Ubungo, Kibangu jijini hapa ikiwa ni mwendelezo wa mahubiri yake ya kila Jumapili.
Katika mahubiri hayo, Mzee wa Upako pia amekuwa akijibu mapigo baada ya kuzagaa kwa taarifa iliyoambatana na video iliyomuonyesha akijibizana na jirani yake, huku akimtishia kifo.
Pia, wiki iliyopita alitoa utabiri kwamba waandishi wa habari walioandika habari za kumchafua watakufa kabla ya Machi 2017, vinginevyo ataacha kuhubiri na kwenda kuuza gongo.
Sign up here with your email
ConversionConversion EmoticonEmoticon