Athari za tetemeko la ardhi nchini New Zealand
Tetemeko hilo lilipiga mwendo wa saa saba na dakika 45 mchana katika kina cha kilomita 10,kaskazini mashariki mwa mji wa Christ Church.
Tetemeko lenya ukubwa wa 7.5 lilikuwa limekumba eneo hilo awali mda mfupi baada ya saa sita usiku na kusababisha onyo la Tsunami.
Mto mkubwa uliofurika umevunja kingo zake na kusababisha mafuriko katika maneo ya chini.
Wakaazi karibu na mto Clarence,ambao ni mkubwa katika kisiwa hicho cha kusini walikuwa wakiagizwa kuhamia maeneo ya juu.
Sign up here with your email
ConversionConversion EmoticonEmoticon