Mlinzi wa Chris Brown Mombasa kaelezea tabia za Chris toka alipompokea

Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila habari inayonifikia hii ni kutoka 254 Kenya ambapo millardayo & Ayo TV imefanikiwa kumpata Mlinzi wa Chris Brown Kenya aliehusika na usalama kuanzisha alipowasili Kenya mpaka alipoondoka nchini humo.
Mlinzi huyo akiongea na ripota wa millardayo.com & Ayo TV aliyaongea haya>>Mimi nilihusika katika mambo ya usalama, Kwanza msanii huyo Chris hatabiriki tabia yake mara kwa mara ni ya kugeukageuka, atafurahi/atakasirika’-Mlinzi
Unaweza ukabonyeza play kuitazama hii interview ya Mlinzi wa Chris Brown kuhusu Chris Mombasa

https://youtu.be/-pXWiNFC1xE
https://youtu.be/iIi3zkoKiec


Previous
Next Post »

COMMUNITY HELP