Miezi
kadhaa iliyopita aliyekuwa mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha
mapinduzi ‘UVCCM’ Arusha, Lengai Ole Sabaya alishtakiwa kwa kosa la
kujifanya ofisa usalama wa Taifa na kughushi kitambulisho cha usalama wa
taifa.
Kesi
hiyo imetolewa maaamuzi na mahakama ya hakimu mkazi Arusha leo December
14 2016 ambapo imemuachia huru Lengai Ole Sabaya baada ya upande wa
Jamhuri kusema hawana nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Sign up here with your email
ConversionConversion EmoticonEmoticon