Tetesisi hiyo ambazo sio nzuri kwa mwigizaji huyo pamoja na watu wake wakaribu, zimeonyesha pia kuwagusa baadhi ya mashabiki wa mwigizaji huyo ambapo wanalazimika kutafuta ukweli wa tetesi hizo kwa namna yoyote.
Mmoja kati ya mashabiki wa malkia huyo kupitia mtandao wa instagram, aliamua kumuuliza meneja wa Wema Sepetu, Martin Kadinda kuhusu tuhuma hizo.
Sign up here with your email
ConversionConversion EmoticonEmoticon