Hii ndo Sababu Inayomfanya Mwanamuziki Diamond Asishiriki Fiesta 2016

Hatimaye Diamond ametoa sababu ya kutopanda jukwaa la fiesta 2016,Akihojiwa na kipindi cha jahazi cha clouds fm Diamond amesema kuwa ndoa (mkataba) yake na Kampuni ya Simu ya Vodacom ndio sababu inayomfanya asishiriki Fiesta mwaka huu...
Wadhamini wakuu wa Fiesta ni Tigo hivyo kufanya hivyo kungeleta mgongano wa maslahii....
Previous
Next Post »

COMMUNITY HELP