Mziwanda na Shilole Waeleza Kilichotokea Mpaka Wakapostiana Instagram Jana



Nuhu Mziwanda na Shilole Katika Pozi la Mahaba
Wasanii wa bongofleva Shilole na Nuh Mziwanda waliwahi kuwa wapenzi lakini wakaachana na baada ya hapo Shilole alionekana kutotaka hata kusamiliana na Nuh japokua walifikia kupatanishwa.

Banda ya haya yote September 15 2016 wawili hawa wamepostiana Instagram kwa mara ya kwanza toka kuachana kwao.
Previous
Next Post »

COMMUNITY HELP